Wanachama wa NUMSA, katika sekta ya chuma cha pua na kutengeneza mashini walianza mgomo kama wiki mbili zilizopita - na kusababisha kiwanda kimoja cha kutengeneza zana za magari kufungwa; na kuzusha hofu kuwa uchumi wa Afrika Kusini unaweza kuzorota tena.
Mgomo huu wa sasa umeanza punde baada ya wachimba dhahabu nyeupe kurudi makazini baada ya mgomo wa miezi mitano.Tuma maoni.0718192930 E-mail samexavery@yahoo.com
No comments:
Post a Comment